Mpango wa Nkalup waleta afueni kwa elimu ya watoto wa Samburu

By Citizen TV Kenya

Community Score: 50% | 8 views | 19h

0 community ratings: null thumbs up, null thumbs down

Ni afueni kwa mamia ya wanafunzi wafugaji kutoka kaunti ya samburu kufuatia kuasisiwa kwa mpango wa Nkalup ambao unalenga kufanikisha ujenzi wa makanisa elfu moja kaunti hiyo huku makanisa hayo yakitarajiwa kutumika kama shule za chekechea siku za wiki na jumapili kuwa sehemu za maabadi.

Tags: Citizen TV, Citizen TV Live, Livestream, News

More from Citizen TV Kenya

  • | DAY BREAK | Finance bill 2026 explained [ part 1] — Score: 50%
  • The explainer interview | Day of delayed justice — Score: 50%
  • THE EXPLAINER 23RD JUNE, 2026 — Score: 50%
  • KNCCI launches youth enterprise program — Score: 50%
  • Family Bank debuts on NSE in major market listing — Score: 50%
  • Teen girl hospitalized after assault as another family seeks justice in Thika murder — Score: 50%