IEBC yathibitisha utayari kwa uchaguzi mdogo wa Ol Kalou

By Citizen TV Kenya

Community Score: 50% | 125 views | 19h

0 community ratings: null thumbs up, null thumbs down

Tume ya IEBC imesema iko tayari kuandaa uchaguzi mdogo wa Ol kalou hapo kesho. Tume hiyo imesema itahakikisha uchaguzi huo ni wa huru na kila mpiga kura atapata haki ya kupiga kura katika vituo vilivyosajiliwa. Aidha tume hiyo imesisitiza kuwa hakuna orodha mpya ya wapiga kura itakayotumika isipokuwa ile iliyokuwepo kufikia wakati ambapo mbunge wa eneo hilo alipofariki. Wananchi wamehimizwa kuzingatia amani na kusubiri matokeo baada ya uchaguzi huo kukamilia

Tags: Citizen TV, Citizen TV Live, Livestream, News

More from Citizen TV Kenya

  • | DAY BREAK | Finance bill 2026 explained [ part 1] — Score: 50%
  • The explainer interview | Day of delayed justice — Score: 50%
  • THE EXPLAINER 23RD JUNE, 2026 — Score: 50%
  • KNCCI launches youth enterprise program — Score: 50%
  • Family Bank debuts on NSE in major market listing — Score: 50%
  • Teen girl hospitalized after assault as another family seeks justice in Thika murder — Score: 50%