Maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou yakamilika

By Citizen TV Kenya

Community Score: 50% | 113 views | 13h

0 community ratings: null thumbs up, null thumbs down

Maandalizi ya uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Ol Kalou yamekamilika huku zaidi ya wapiga kura elfu 70 wakitarajiwa kushiriki uchaguzi huo hapo kesho. Saa chache kabla ya uchaguzi huo, mamia ya maafisa wa usalama wameimarisha doria katika eneo bunge hilo, siku moja baada ya serikali kutangaza kuwatuma zaidi ya maafisa 1,000 kusimamia usalama na kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani.

More from Citizen TV Kenya

  • | DAY BREAK | Finance bill 2026 explained [ part 1] — Score: 50%
  • The explainer interview | Day of delayed justice — Score: 50%
  • THE EXPLAINER 23RD JUNE, 2026 — Score: 50%
  • KNCCI launches youth enterprise program — Score: 50%
  • Family Bank debuts on NSE in major market listing — Score: 50%
  • Teen girl hospitalized after assault as another family seeks justice in Thika murder — Score: 50%