Wananchi wataka msisitizo zaidi kwenye mafunzo na ushauri nasaha kwa wanaoathirika na pombe
Community Score: 50% | 162 views | 3d
0 community ratings: null thumbs up, null thumbs down
Baadhi ya wananchi kutoka maneo ya Kajiado na kiambu, wataka msisitizo zaidi uwekwe katika mafunzo, ushauri nasaha na urekebishaji tabia kwa waathirikao na uraibu wa pombe na mihadarati ili kudhibiti utumizi wa bidha ahizo. Aidha,serikali yaraiwa kushughulikia changamoto za ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana, hali ambayo inachangia vijana kupata msongo wa mawazo na kujiingiza kwenye uraibu.
Tags: Citizen TV, Citizen TV Live, Livestream, News
More from Citizen TV Kenya
- | DAY BREAK | Finance bill 2026 explained [ part 1] — Score: 50%
- The explainer interview | Day of delayed justice — Score: 50%
- THE EXPLAINER 23RD JUNE, 2026 — Score: 50%
- KNCCI launches youth enterprise program — Score: 50%
- Family Bank debuts on NSE in major market listing — Score: 50%
- Teen girl hospitalized after assault as another family seeks justice in Thika murder — Score: 50%